Kumekucha.! UTATA WA LISU ANAKWAMBIA HAFUNGWI MTU HAPA/MSIOGOPE

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 10 апр 2025

Комментарии • 13

  • @FahadMbwego
    @FahadMbwego 3 часа назад +2

    Daaah kamanda ana history njema sana hongera kwa historia bora sana

  • @MasungaLaurent
    @MasungaLaurent 2 часа назад +3

    No reforms no election

  • @atulalimpakakiereweke
    @atulalimpakakiereweke Час назад

    Hongera sana lisu

  • @paskaziasholla7471
    @paskaziasholla7471 3 часа назад +3

    Tuna jua hata ulemavu alio nao ni sababu ya yeye kuisimamia kweli na kuitangaza kweli na kuitaka haki

    • @RhodaLema-z8w
      @RhodaLema-z8w 3 часа назад +1

      Nimefurahi sana kukuona huogopi nami nakuambia usiogope nakuombea uzidi kuwa na ujasiri na akupe ushujaa kama Mfalme Daudi tunakuombea sana Mungu akulinde na akutunze ikiwezekana usiishie hapo tuu nanupande ngazi hadi kuwa....
      ..

  • @SephaniaMsigwa
    @SephaniaMsigwa 18 минут назад +1

    Lisu ndio njia pekee ya ukombozi

  • @NorahFrank-w5m
    @NorahFrank-w5m 3 часа назад +1

    Wakweli, wanafiki na waovu ndiyo wapenzi wa wengi.

  • @BungeyiSaiboku
    @BungeyiSaiboku 4 часа назад +1

    Kweli kabx

  • @ayubumwambola589
    @ayubumwambola589 Час назад

    Umeandika historia ambayo hatafutika kizazi na kizazi,wengine wanaweka historia ya kùwa Rais na ufisadi juu lakini lisu atakumbukwa kwa haki na kupigania taifa lake dhidi ya dhuruma

  • @gracebwimbo1889
    @gracebwimbo1889 3 часа назад +1

    Ilo halina ubishi giza haliwezi kuishinda nuru

  • @gracekagoma3231
    @gracekagoma3231 2 часа назад

    Lissu arudi Ubeljiji na passport.ya Tz ichukuliwe

  • @selemanmcharazo
    @selemanmcharazo 2 часа назад

    Ujasiri gani angekimbilia Belgium?

    • @maclaudismail6606
      @maclaudismail6606 2 часа назад

      Hata nyerere wkt anadai uhuru amewahi kujificha nchi akaachiwa kawawa, ulikuwa hujazaliwa wala historia husomi